| |
| | SEKTA YA MAMBO YA KALE |
 | | Katika mwaka 2004/2005, Wizara itatekeleza mpango wa usimamizi shirikishi wa misitu katika wilaya 37 kwenye Mikoa ya Morogoro, Lindi, Iringa, Mbeya, Mtwara, Ruvuma, Pwani, Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Singida, Dodoma, Tabora, Kigoma, Rukwa, Mwanza, Kagera na Shinyanga. |
 | | kuboresha usimamizi wa uvunaji wa mazao ya misitu, utoaji wa leseni za kuvuna miti utashirikisha wilaya na serikali za vijiji. |
 | | Katika mwaka 2004/2005, Wizara itatoa huduma za ugani katika wilaya 10 na kutangaza hifadhi 4 za nyuki za vijiji. |
| www.tanzania.go.tz /budgetspeech/2004/utalii040727.htm (3948 words) |
|